Call / WhatsApp +255673378129

Jan 20, 2010

Twende kazi...!!!

Kwetu kila kukicha tunacheza na mitandao kutaka kujua lipi jipya upande wetu huu ili tupate kwenda sawa na ya duniani,kila leo frequency zinabadilika na satellite kuhama hivyo ili wateja wetu waweze kupata ambacho wanakihitaji up to date,tunawatumikia sana kuliko wadhaniavyo...!!
Leo nipo maeneo fulani hivi wanapaita mbezi salasala,nili7babisha watu waone Local,Asia na Gospel channels...    Dish ilikuwa kitu new na hizi ni baadhi ya ambazo nilibahatika kuzipata alau:-









Share:

1 Unasemaje..??:

Anonymous said...

Kaka mkuu eti inawezekana kupata local kwa Dish ndogo na napata channel ngani?

#FundiKalipua

Najivunia Tanzania yangu




Powered by Blogger.

Fanya kuni Follow Instagram

YOTE YANAYOHUSU VING'AMUZI TUKUTANE INSTAGRAM

Habari mdau wa Digital tv kiujumla! Najua alau kipo nilichowasaidia kupitia hii blog na wakati mwengine pengine siwasaidii kwa wakati na...

Nitumie Email

Name

Email *

Message *

Idadi ya Watembeleaji

Slider

FAHAMU KWA KINA: Kifaa kinachopokea matangazo ya Digital kinaitwa KISIMBUZI sio KING'AMUZI..

Culture

Wisata

Favourite

Event

Gallery

News Scroll

USHAURI | MSAADA KIUFUNDI | KUNUNUA PIGA/WHATSAPP +255673378129

Post zilizokupita